

Mh Makonda pamoja na mambo mengine amewataka watanzania kutulia kwani Picha ndio linanoga na kama kuna mtanzania anabeza jitihada zake atashangaa atakaposkia Dar es salaam hakuna madawa ya kulevya Tena.
Wafuatao waonane na Makonda pale central polisi ijumaa hii

1. Sleep way Mmiliki
2. Yatch club
3. Saleh MMI
4. Mwinyi machapta
5. Rose
6. Kiboko
7. Halfin
8. Iddi azan
9. Mch gwajima
10. Mbowe
11. Chizenga
12. Masanga
13. Ben mfundo
14. Yusuf manji


No comments:
Post a Comment