Thursday, March 22, 2018

Tigo yapiga "Tafu " zoezi la usajili wa vyeti vya kuzaliwa vya watoto mikoa ya Mara na Simiyu

 Waziri wa Haki na Katiba, Prof Palamaganda Kabudi akionesha kitabu cha vyeti vya kuzaliwa pamoja na simu ya kisasa alipozindua zoezi la usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa njia ya mtandao kwa mikoa ya Mara na Simiyu leo. Tigo imetoa simu 1125 za thamani ya Tsh 77milioni kufanikisha zoezi hill. Kulia ni Mwenyekiti was Bodi ya RITA, Prof. Hamisi Dihenga.
 Waziri wa Haki na Katiba, Prof Palamaganda Kabudi akikabidhi  cheti cha kuzaliwamara baada ya  kuzindua zoezi la usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa njia ya mtandao kwa mikoa ya Mara na Simiyu leo. Tigo imetoa simu 1125 za thamani ya Tsh 77milioni kufanikisha zoezi hill. 

Wafanyakazi wa Tigo wakiendelea kufanya usajil kwa wakazi wa Musoma baada ya  uzindua zoezi la usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa njia ya mtandao kwa mikoa ya Mara na Simiyu . Tigo imetoa simu 1125 za thamani ya Tsh 77milioni kufanikisha zoezi hill.
Kikundi cha burudani kiktumbuiza wakati wa uzinduzi wa   zoezi la usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa njia ya mtandao kwa mikoa ya Mara na Simiyu . Tigo imetoa simu 1125 za thamani ya Tsh 77milioni kufanikisha zoezi hill.  

 Waziri wa Haki na Katiba, Prof Palamaganda Kabudi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Tigo na RITA na mara baada ya  uzinduzi wa  zoezi la usajili na utoaji vyeti vya kuzaliwa kwa njia ya mtandao kwa mikoa ya Mara na Simiyu . Tigo imetoa simu 1125 za thamani ya Tsh 77milioni kufanikisha zoezi hill.

No comments: