Tuesday, April 15, 2014

TAZAMA PICHA PICHA ZA SAFARI YA MWISHO YA MAREHEMU MZEE MUHIDIN GURUMO.MAKAMU WA RAISI AMZIKA






Makamu wa Rais Dk Mohamed Bilal akiwasili nyumbani kwa marehemu Muhidini Gurumo, Makubuli, Ubung, Dar leo asubuhi.
Makamu wa Rais, Dk Bilal (Mwenye suti) akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana wakiwa msibani leo.
Wawakilishi wa Kampuni ya Global. Elvan Stambuni ( kwa kwanza kushito) na Abdallah Mrisho (wa tatu kushoto) wakiwa na wasanii wa filamu na waombolezaji wengine msibani leo asubuhi.
Msanii wa Filamu za Bongo. Jacob Steveb’ JB’ akihojiwa na kituo kimoja cha televisheni kabla ya mwili wa marehemu kusafirishwa kwenya Masaki, Kisarawe kwa mazishi.
Saidi Mabela (aliyevaa kanzu) ambaye ameachiwa jukumu la kuendesha Bendi ya Msondo aliyoiasisi marehemu Gurumo, akiwa msibani leo, kushoto ni Abdul Salvado, mwanamuziki mpapasa kinada.
Mamia ya watu wakisindikiza jeneza lenye mwili wa marehemu kwenye gari (halipo pichani).
Waombolezaji wakiwa na jeneza lenye mwili wa marehemu Gurumo wakilipeleka kwenye gari tayari kwa safari ya kwenda Masaki Kisarawe pwani kwa mazishi.
Jeneza lenye mwili wa marehemu likipakiwa kwenye gari.
Moja ya mabasi yaliyochukua waombolezaji kwenda kumzika Gurumo Kisarawe.
Safari ya mwisho ya Gurumo hapa duniani ikianza kwenda kwenye nyumba yake ya milele Masaki, Kisarawe inaanza.
(Picha ya Andrew Carlos/GPL)

No comments: