Thursday, May 15, 2014

HIVI NDIVYO UKAWA WALIVYOUNGURUMA MJINI MOSHI

Katibu mkuu wa chadema  dk slaa ambaye ndiye anaongoza msafara wa ukawa huko kaskazini akizungumza na mamia wa mkoa wa kolimanjaro mjini mosha katika mkutano wa ukawa

Taswira za Ukawa walivyounguruma mjini Moshi jana.

No comments: