Tundu
Lissu: 'Tanganyika iliuwawa na amri za Mwalimu Nyerere na hakuwa na mamlaka
kisheria ya kuiua, nchi hii ni haramu, nusu karne ya uongo iishe''Hatujawahi kuwa nchi moja, habari ya Tanzania kuwa nchi moja iliingizwa ktk katiba miaka 20 baada ya muungano, miaka 50 ya kudanganyana ikome, nchi hii inahitaji kuelezwa ukweli'
Una chochote cha kuchangia kwenye hili?
No comments:
Post a Comment