Balozi wa Marekani Nchini Lt.Kevin Balisky akisoma risala mbele ya mgeni rasmi Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Silima wakati wa halfa ya kukabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la maji, masaada huo umetolewa na Serikali ya Marekani kupitia mradi wa AFRICO,leo jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa Mambo ya ndani, Pereira Silima (kulia) akizindua mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa kikosi cha askari wa maji katika halfa iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Balozi wa Marekani nchini, Lt. Kevin Balisky,mtambo huo umetolewa na Serikali ya Marekani kupitia mradi wa AFRICO kwa ajili ya kusaidia kudhibiti uhalifu wa majini na kuweza kutambua vyombo na shughuli zote zitakazofanyika katika maji.
Picha na Lorietha Laurence-Maelezo
No comments:
Post a Comment