Tunapenda kuufahamisha umma kuwa taarifa zote kuhusiana na usajili mpya au kuachwa kwa wachezaji kwenye kikosi chetu zitatolewa mwisho wa mwezi huu yaani Novemba 30, kwa sasa uongozi bado unapitia na kufanyia kazi baadhi ya mambo muhimu yaliyopewa kipaumbele kwenye ripoti ya mwalimu (kocha wetu).
No comments:
Post a Comment