Wednesday, February 7, 2018

FAHAMU SIFA NA UWEZO WA TECNO-Camon CM


Unaikumbuka Camon CX na CX Air? Simu ambazo naamini ziliongoza kwa mauzo na ubora kutoka TECNO kwa mwaka 2017, bila ubishi.TECNO Camon CM ni muendelezo wa familia ya simu za Camon kutoka TECNO
Fahamu uwezo wake,muonekano wake n.k katika uchambuzi huu
 MUONEKANO
Ikiwa na wigo mpana/kioo enea chenye uwiano wa 18:9 Camon CM ina maboresho makubwa ukilinganisha na CX na CX Air,  ni nyembamba Ukiishika utakubali kuwa inastahili kuwa kati ya simu janja nyembamba zaidi duniani.

 KAMERA
TECNO –Camon CM inakuja na 13 Megapixel  kamera ya mbele na nyuma ikiwana flashi nne zinazoshabihi mwanga hafifu kwa picha zenye ubora wa HD
UFANISI
Camon CM inakuja na 2GB RAM+16GB ROM uwezo wa kutunza kumbukumbu
UKAAJI WA CHAJI [BETRI]
Ikiwa na 3000mAh inahifadhi chaji kwa muda mrefu zaidi ikimpa fursa mtumiaji kusikiliza ama kuperuzi mtandao pasipo kuhofia kuisha chaji


Kwa maelezo zaidi tembelea tovuti ya http//www.tecno-mobile.com

No comments: