Paparazi tayari
wameshaanzisha uvumi kama ilivyo ada, ambapo safari hii wakiihusisha kampuni
kinara katika uzalishaji wa simu za mkononi TECNO,ikitajwa zaidi midomoni mwa
watu, tetesi zaidi zinaihusisha kampuni hiyo pendwa na ujio wa toleo jipya
ikiwa ni muendelezo wa jamii ya Camon inayosemekana kuzinduliwa nchini Nigeria,
siku na saa bado havikuwekwa wazi.

Swali ni
kwamba je ni kweli TECNO watakuja na toleo jipya kama inavyosemekana midomoni
mwa wadau mbali mbali, bado hakujakuwa na taarifa rasmi kutoka kwenye vyanzo
vya kuaminika

Kwa maelezo
zaidi tembelea tovuti ya http//www.tecno-mobile.com/tz
No comments:
Post a Comment