![]() |
|
AJALI iliyotokea eneo ya Nyamwage mkoa wa LIndi
wakati bali basi la abiria la lililokuwa liktokea Dar Es Salaam kuel ekea Lindi limepinduka na kusababisha kifo cha mtu mmoja |
Monday, September 30, 2013
kwa ufupi.BASI LA 5 ALLIANCE LAPATA AJALI MBAYA,MMOJA AFA
POLISI DAR YAZINDUA ULINZI SHIRIKISHI NGAZI YA FAMILIA,KOVA AZUNGUMZA,MATEJA ZAIDI YA MIA WA KARIAKOO SASA NI ULINZI SHIRIKISHI
| KAMISHNA KOVA AKIKAGUA GWARIDE LA VIJANA WA ULINZI SHIRIKISHI |
Akizungumza katika uzinduzi huo kamishna KOVA amesema kuwa mikoa mingine lazima iige kampeni hiyo ili kuhakikisha hakuna ukatiki ndani ya familia.
| BAADI YA VIJANA WA ULINZI SHIRIKISHI |
| KAMANDA WA POLISI WA ILALA MAMA MARIETHA MINANGI AKIMKARIBISHA MGENI RASMI |
| BURUDANI NAYO ILIKUWA MAHALI PAKE |
| HUYU NI MOJA KATI YA VIJANA ZAIDI YA MIA MOJA WALIOKUWA MATEJA SASA WAMEANZA KUWA ULINZI SHIRIKISHI HAPA AKISALIMIANA NA MEZA KUU |
| KOVA AKIWA NA MKUU WA WILAYA YA ILALA MH RGIMBANA NA WENGINE NI WADAU WA POLISI AMBAO LEO NAO WAMECHANGIA PIKIPIKI 12 KWA AJILI YA ASKARI KUFANYIA KAZI ZAO |
| AKIWAKABIDHI VIJANA WA ULINZI SHIRIKISHI KUTOKA TARAFA YA KARIAKOO VIFAA AINA YA RUNGU KWA AJILI YA ULINZI WA MALI A WANANCHI |
Saturday, September 28, 2013
Friday, September 27, 2013
MDAHALO KUHUSU BUNGE WAFANYIKA DAR JIONI HII,TUNDU LISU AFUNGUKA
| MNADHIMU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI TUNDU LISU AKITOA HOJA KATIKA MDAHALO HUO WA WAZI ULIOMALIZIKA MUDA MFUPI ULIOPITA JIJINI DAR ES SALAAM |
| WANANCHI WALIOHUDHURIA MDAHALO HUO |
| BAADHI YA WANANCHI NAO WALIPATA NAFASI YA KUCHANGIA HUKU WENGI WAKIONYESHA KUUNGA MKONO HOJA ZA KAMBI ZA UPINZANI ZA KUTAKA MAANDAMANO YA KUMTYAKA RAISI ASISAINI MSWADA WA MABADILIKO YA KATIBA |
| HUYU NI ESTER WASIRA AKICHANGIA |
Subscribe to:
Comments (Atom)









