CCM wameishiwa hoja,
wameanzisha mkakati wa kuzomea. MWIGU...LU anataka Serikali moja, lakini anaogopa kusema. Tupo
kwenye nafasi nzuri sana ya kulijadili Swala hili, la sivyo, tutalijadili kwa
kulazimishwa. Leo LUKUVI anatutishia uwepo wa Serikali tatu, JESHI litaitawala
Nchi! Mbona Rais wetu alikuwa Mwanajeshi na anatuongoza?...Wanajeshi ni Ndugu
zetu, wakitawala kuna tatizo gani?...
Unapopimwa Malaria au Ukimwi, Sample ya
Damu inatolewa kidoleni, na sio lita tano ili kujua ngoma imekaaje mwilini!
acheni kutuzingua kwamba waliohojiwa na TUME ya Warioba ni wachache". amesema
Mhe.Sugu.
No comments:
Post a Comment