Amesema Tanzania inaunga mkono Tamko lililotolewa na Mwenyekiti wa SADC na AU Rais wa Zimbabwe Mzee Robert Mugabe kuhusu machafuko hayo na hatua ambazo serikali ya Afrika kusini imechukua ili kuzuia yasiendelee. (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
Wapiga picha kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakichukua picha na taarifa muhimu wakati Waziri huyo akizungumuza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa JNICC jijini Dar es salaam asubuhi hii.
Monday, April 20, 2015
MPYAA-KAULI YA BERNAD MEMBE MUDA HUU JUU YA KINACHOENDELEA AFRICA KUSINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment