Thursday, July 9, 2015

TUKIO LA KWANZA RAIS KIKWETE ALILOFANYA HUKO CCM DODOMA MUDA HUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akibonyeza kitufye cha kengere kuashiria uzinduzi rasmi wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo maeneo ya ..... mjini Dodoma, leo Julai 9, 2015. Picha na OMR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, na Balozi wa China nchini Tanzania, kwa pamoja wakifunua kitambaa kuashiria kuzindua rasmi Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo mjini Dodoma, wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika leo Julai 9, 2015. Picha na OMR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akimkabidhi mfano wa ufunguo wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, Katibu Mkuu wa CCM Bara, Abrahman Kinana, baada ya kuzindua rasmi ukumbi huo leo, mjini Dodoma. Picha na OMR

Rais jakaya Kikwete, akionyesha mfano wa ufunguo wa Ukumbi huo baada ya kukabidhiwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa ukumbi huo leo, mjini Dodoma. Picha na OMR

Picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Chama na Serikali baada ya uzinduzi huo. Picha na OMR

Rais Jakaya Kikwetena baadhi ya Viongozi, wakitembelea kukagua ukubi huo baada ya uzinduzi. Picha na OMR







 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Jakaya Kikwete, akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ukumbi mpya wa mikutano wa CCM wa Dodoma Convention Centre, uliopo mjini Dodoma, leo Julai 9, 2015. Picha na OMR

No comments: