| Prof CHRIS PETER amabaye ni mmoja kati ya walioshiriki kuandika kitabu cha miaka 20 ya LHRC akielezea mambo yanayopatikana katika kitabu hicho |
| Onesmo Ulengurumwa mwanasheria kutoka katika kituo hicho Aikifafanua jambo kuhusu miaka 20 ya LHRC katika maadhimisho yaliyofanyika Jijini Dar es salaam |
| Meza kuu |
| Wafanyakazi pamoja na wadau mblaimbali wa LHRC wakiwa katika hafla hiyo |
| TUNASOMA-Wadau mbalimbali wakisoma kitabu cha miaka 20 ya LHRC ambacho kilizinduliwa katika hafla hiyo |
| Keki maalum ya maadhimishi ya miaka 20 ya LHRC |
| Vikundi vya ngoma vikitoa burudani |
| Picha ya pamoja ya wafanyakazi wa LHRC |
No comments:
Post a Comment