![[IMG]](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpl1/v/t1.0-9/10376863_244269689243989_3740904164997124683_n.jpg?oh=8c64ffc7a31a015ed643eb44d1171330&oe=57592538)
Ikumbukwe vurugu hizi zinakuja ikiwa ni Siku moja tu baada ya Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi visiwani humo ndugu Jecha kutoa waraka wake kwa vyombo vya habari kuwa hali ya usalama visiwani humo ni salama na Amani.
![[IMG]](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/10363330_244269699243988_2952147378466933171_n.jpg?oh=bec60f43e49a22dacf7a52168137af79&oe=574BD02F)
Habari hizo zinaeleza kwamba, Jeshi la Polisi linaendesha kamata kamata watu waliohusika kwenye tukio hilo.
![[IMG]](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/1915685_244269742577317_6720535532716214146_n.jpg?oh=5fce1d92a2ae6f2661b0ec7c221a8b7b&oe=5756B683)
Tukio hilo limezidisha hali ya wasiwasi visiwani humo ambapo tayari Chama cha Wananchi (CUF), viongozi wa dini, wanasiasa na wanaharakati tayari wametoa tahadhari ya kutokea kwa matukio hayo.
Mungu iepushe Tanzania na haya majanga
![[IMG]](https://scontent-bru2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xft1/v/t1.0-9/12821400_244269919243966_2618324487934497365_n.jpg?oh=e992359a89b181aff2f85ee8a1a47ac2&oe=5751A07B)
No comments:
Post a Comment