Tamko
hilo limepokelewa tofauti na Machinga ambapo Mwenyekiti wa
wafanyabiashara ndogondogo katika Halmashauri ya Ilala Steven Lusinde
ameeleza kuwa baada ya kupokea taarifa hiyo waliamua kutembelea maeneo
hayo ambayo ni Ukonga,Tabata Muslim,Kigogo Fresh,Kivule na kukuta hayapo
katika miundombinu stahiki, yakikabiliwa na changamoto mbalimbali.
No comments:
Post a Comment