Monday, September 29, 2014

PICHA TATU ZA MAANDAMANO YA CHADEMA LEO MANZESE KUPINGA BUNGE LA KATIBA


Wananchi wa manzese ambao ni wanachama wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA leo wamefanya maandamano ya kuendelea kupinga kile wanachokiita ni wizi unaoendelea ndani ya bunge maalum la katiba ikiwa ni mwendelezo wa kutimiza tamko la mkutano mkuu la chama hicho la kufanya maandamano nchi nzima kupinga mchakato huo

No comments: