BW;REGINALD MENGI
VIONGOZI MLIOCHAGULIWA...Wananchi waliwamini wakawapa kura zao. Leo baadhi yenu mnawasaliti waliowachagua kwa kutetea wezi wa fedha za umma
Acha Mungu aitwe Mungu. Amewaweka hadharani wasiofaa kupata kura yeyote 2015 kwa kutetea wezi wa fedha za umma
No comments:
Post a Comment