Thursday, December 4, 2014

fastjet kwenye maadimisho ya miaka 70 ya kimataifa ya safari za anga duniani

unnamed2
unnamed1 unnamed3Baadhi ya wananchi walioyembelea banfa la Fastjet katika maadhimisho  ya miaka 70 ya Usafiri wa Anga yaliaonza jana ambapo yatamalizika Desemba 5 mwaka huu katika Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCCA) Dar es Salaamunnamed5OFisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro akihijiwa na waandishiwa habari kutoka Star TV.unnamed6OFisa Habari na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro akielezea baadhi ya mambo yaliopo katika vipeperushi vya kampuni hiyo ya ndege vikielezea huduma muhimu za usafiri kwa kampuni ya Fastjet.

No comments: