Christopher Alex Massawe aliwahi kuichezea timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) mwanzoni mwa miaka ya 2000's na kwa mafanikiko makubwa huku pia akiwa tegemeo katika klabu yake ya Simba SC.
Katika salam zake kwa familia ya Massawe, kwa niaba ya TFF, familia ya mpira wa miguu na watanzania Rais Malinzi amewapa pole wapenzi wa mpira wa miguu nchini katika kipindi hiki kigumu cha maombelezo.
No comments:
Post a Comment