![]() |
|
![]() |
Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goiat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam |
![]() |
|
![]() |
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group |
No comments:
Post a Comment