Wachezaji wa timu za Fastjet na Simbanet wakichuana katika mechi ya bonanza la clouds sports extra lililofanyika kwenye uwanja wa leaders siku ya mei mosi. Fastjet ilishinda kwa magoli 2-0. |
Mwalimu wa timu ya fastjet, Kocha Diego akiwapa maelekezo wachezaji wake.
|
Wachezaji wa timu ya fastjet wakifanya mazoezi yakujiandaa (warm up) kabla ya kuanza bonanza la clouds sports extra.
|
No comments:
Post a Comment