Mahakama iliwataka Mawakili wa Lema kuwasilisha notisi ya rufaa na si rufaa.
Kwa upande mwingine baada ya wafuasi wa mbunge huyo wamejitokeza mahakamani wakiwa wamevalia fulana zenye maandishi ‘Justice 4 Lema’ ikiwa ni njia ya kuishinikiza mahakama kumuachia mbunge huyo kwa wao wanaoa kuwa haki haitendeki.
Kesi la Mbunge Godbless Lema imehirishwa hadi Disemba 2 mwaka huu.




No comments:
Post a Comment