Saturday, January 6, 2018

Ziara ya msemaji wa Jeshi la Polisi BBC

   Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP)  Barnabasi Mwakalukwa  akiagana na  meneja wa ushirikiano wa BBC Media Action, Agnes Kayuni  mara baada ya kumaliza mazungumzo na watendaji wa  BBC Media  Action leo  alipo watembelea ofisini  kwao kwa lengo la kuimarisha ushirikiano.  (Picha  na Jeshi la Polisi.
    Studio Meneja wa  shirika la utangazaji la BBC, Peter Mfalila akimuonesha Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP)  Barnabasi Mwakalukwa  namna studio ya BBC Dar es salaam inavyofanya kazi. (Picha  na Jeshi la Polisi


No comments: