Kamishna
Msaidizi wa Jeshi la Magereza, Steven Mwaisabila (kushoto), akikwagua gwaride
la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake wakati wa hafla ya kumuaga akistaafu
utumishi wa jeshi hilo, Hafla hiyo imefanyika leo katika Viwanja vya Chuo cha Magereza
Ukonga, jijini Dar es Salaam.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
|
No comments:
Post a Comment