Monday, January 6, 2014
HIVI NDIYO PINDA ALIVYOPOKEA MWILI WA MGIMWA IRINGA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Jane Kakingo Mgimwa, mjane wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya mwili wa marehemu kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli Iringa Desemba 5, 2014 kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika kijijini Magunga Desemba 6, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishuhudia wakati mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha, Dr. William Mgimwa wakati ulipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli Iringa Desemba 5,2014 kwa ajili ya mazishi yanayotarajiwa kufanyika Desemba 6, 2014 kijijini Magunga. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment