Mdhibiti Uhalifu
wa Kifedha wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Thomas Mgonja (kushoto)
akikabidhi msaada wa sabuni kwa Enesi Sanga ambaye mtoto wake amelazwa
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Wafanyakazi wa idara ya udhibiti wa
uhalifu wa kifedha ya benki hiyo walikwenda hospitalini hapo jijini Dar
es Salaam jana kukabidhi misaada mbalimbali ya kibinadamu ikiwa ni
sehemu ya mpango wa NBC wa kuhudumia na kurudisha sehemu ya faida
waipatayo katika shughuli za kijamii. |
No comments:
Post a Comment