Friday, November 25, 2016

VIJANA WAJASILIAMALI KUTOKA MIKOA MBALIMBALI YA TANZANIA WATEMBELEA SIDO DAR KUJIFUNZA UZALISHAJI



 Mbunifu wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Zacharia Maziku, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.  Picha na Mafoto Blog
 Mbunifu wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Zacharia Maziku, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
 Baadhi ya vijana wakiangalia jinsi Jora linavyotengenezwa.....
 Meneja Uzalishaji wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Laurent Mwaisamila, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
 Meneja Uzalishaji wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Laurent Mwaisamila, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
 Meneja Uzalishaji wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Laurent Mwaisamila, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
 Meneja Uzalishaji wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Laurent Mwaisamila, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
 Meneja Uzalishaji wa Shirika la kuhudumia Viwanda vidogo Sido, Laurent Mwaisamila, akiwaonyesha baadhi ya vijana wajasiliamali jinsi ya kuandaa na kutengeneza Jora la Kitambaa wakati Vijana hao walipotembelea kujionea kazi na uzalishaji wa Shirika hilo jana Nov 24, 2016, wakiwa katika zaiara ya mafuzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la Kiserikali la The Foundation for Civil Cociety kwa kushirikiana na Tanzania Women Chambers of Commerce (TWCC). Mafunzo hayo yanamalizika rasmi hii leo kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam. 
 Vijana hao wakiwa katika Viwanja vya Sido baada ya kuwasili
 Baadhi ya Vijana wakiangalia moja ya bidhaa zinazozalishwa katika Shirika hilo na Mwalimu wao, 
 Vijana hao wakiwa katika kiwanda cha kuzalisha Majora kwa mafunzo
 Mafunzo na maelekezo ya kutumia mashine kuzalisha Majora yakiendelea
 Maelekezo yakiendelea.......
 Wengine wakijiselfie kiwandani hapo kwa kumbukumbu....
 Msimamizi wa Mashine za Shirika hilo, Mlagani Keneth, akitoa maelekezo kwa vijana hao.
 Vijana wakiwa bize kufuatilia maelekezo ya kutumia mashine hizo
 Vujana wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya EFA Production Solutions Ombeni Selestine, wakati wakilitembelea Ofisi yake jana.
 Mkufunzi Mwajuma Hamza, akitoa maelekezo kwa vijana hao kabla ya kuanza ziara hiyo katika kiwanda cha Mjasiliamali Ombeni Selestine.
 Vujana wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya EFA Production Solutions Ombeni Selestine, wakati wakilitembelea Ofisi yake jana.
 Vujana wakimsikiliza Mkurugenzi wa Kampuni ya EFA Production Solutions Ombeni Selestine, wakati wakilitembelea Ofisi yake jana.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya EFA Production wakijaza Lotion katika makopo kwa kutumia mikono tayari kwa kupaki katika maboksi na kuuzwa.
  Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya EFA Production wakipanga bidhaa katika maboksi baada ya kujazwa.
 Vijana wakiwa kiwandani hapo
  Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya EFA Production wakijaza Lotion katika makopo kwa kutumia mikono tayari kwa kupaki katika maboksi na kuuzwa.
 Vijana Wajasiliamali wakiangalia jinsi mfanyakazi wa EFA Production anavyobandika lebo lakitika kifungashio.
 Mmoja kati ya vijana wajasiliamali akijaribu kwa vitendo kubandika Lebo baada ya kuelekezwa.
 Wakiangalia vifungashio.
 Selfiepia zilihusika pande hizo....
 Wakiangalia Viti vinavyotengenezwa kwa Mkeka.....
 Wakiangalia Kikapu kilichotengenezwa kiwandani hapo
Fundi wa Mshine za kukamua miwa, Marry Gerald, akitoa maelezo kwa Vijana hao kuhusu utengezaji na ufanyaji kazi wa Mashine hizo.
 Mfanyakazi wa Sido, Jonathan akizungumza na Vijana hao wakati walipotembelea Shirika hilo kwa mafunzo.
 Vijana wakizungumza na mafundi wa Daria Disgn walipotembelea Ofisi hiyo iliyopo Upanga jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Daria Disgn, Daria Makaramba akizungumza na vijana hao walipotembelea Ofisi yake kwa mafunzo jana.
 Vijana wakipiga picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Daria Disgn baada ya mafunzo.
Picha ya kumbukumbu.

No comments: