Tuesday, August 29, 2017

LHRC + LISSU KUWASHA MOTO LEO ANGALIA VIDEO HII...

Kituo cha Sharia na Haki za Binadamu kikishirikiana na Chama
cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) pamoja na mtandao wa haki za binadamu THRDC,
TANLAP na WiLDAF kwa pamoja wameungana kukemea vikali tukio la kuvamiwa na
kulipuliwa kwa mabomu ofisi ya mawakili ya IMMA tukio lililotokea usiku wa
kuamkia tarehe 26 mwezi agosti 2017 jijini Dar es salaam.


Kutokana na kutokea tukio hilo na mengi ya
kujaribu kuuminya uhuru wa wanasheria katika kutimiza majukumu yao kituo cha sharia
na mashirika rafiki wameroa maazimio yafuatayo..



                                                ANGALIA VIDEO HII.. 



                   

No comments: