| Mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia chama cha Mapinduzi CCM Bw. Godfrey Mgimwa na Ndugu Jesca Msambatavangu Mwenyekiti wa CCM Iringa wakiimba wimbo mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Itwaga. umbuiza katika kijiji cha Itwaga kabla ya kuanza mkutano huo. Mgombea
ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia chama cha Mapinduzi CCM Bw. Godfrey
Mgimwa akishiriki kucheza ngoma na msanii Dokii katika kijiji cha Itwaga
kabla ya mkutano huo kuanza wa pili kutoka kulia ni Ndugu Jesca Msambatavangu Mwenyekiti wa CCM Iringa Mgombea
ubunge wa jimbo la Kalenga kupitia chama cha Mapinduzi CCM Bw. Godfrey
Mgimwa akishiriki kucheza ngoma na msanii Dokii katika kijiji cha Itwaga
kabla ya mkutano huo kuanza wa pili kutoka kulia ni Ndugu Jesca Msambatavangu Mwenyekiti wa CCM Iringa Wananchi wakifuatilia kwa makini hotuba ya mgombea ubunge huyo. gombea huyo. |
No comments:
Post a Comment