Tuesday, March 25, 2014

habari inayotikisa jiji kwa sasa---UGENI MKUBWA TANZANIA,NI WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UJERUMAN.ANZA KWA PICHA KADHAA

ndege ambayo amepanda waziri wa mambo ya nje wa ujerumani bw DK FRANK WALTER muda huu akiwasili katika uwanja wa kimataifa wa ndege jk nyerere


john kery amewasili tayari kuanza ziara yake ya siku moja nchini tanzania

Add caption

picha nyingine zikuonyesha mwenyeji wake ambaye ni waziri wa mambo ya nje wa tanzania BERNARD MEMBE akimpokea waziri mwenzake

karibu mgeni.HABARI KAMILI ITAKUJIA PINDI ITAKAPOKAMILIKA.ASANTENI

No comments: