| ndege ambayo amepanda waziri wa mambo ya nje wa ujerumani bw DK FRANK WALTER muda huu akiwasili katika uwanja wa kimataifa wa ndege jk nyerere |
| john kery amewasili tayari kuanza ziara yake ya siku moja nchini tanzania |
| Add caption |
| picha nyingine zikuonyesha mwenyeji wake ambaye ni waziri wa mambo ya nje wa tanzania BERNARD MEMBE akimpokea waziri mwenzake |
| karibu mgeni.HABARI KAMILI ITAKUJIA PINDI ITAKAPOKAMILIKA.ASANTENI |
No comments:
Post a Comment