| Muonekano wa msikiti huo kwa nje |
| Waislam mbalimbali ambao wamejitokeza leo katika msikiti huo leo jijini dar es salaamkushughudia uzinduzi huo wa msikiti wa kihistoria jijini Dar es salaam |
| Makamu wa rais wa tanzania MOHAMED GHARIB BILAL bilal alihudhiria swala ya uzinduzi wa msikiti huo ,hapa akisalimiana na waumini wengine waliokusanyika hapo |
| BAKHRESA akiagana na mzee MWINYI baada ya kukamilika kwa uzinduzi huo leo |
No comments:
Post a Comment