Baada ya uamuzi huo millardayo.com pia imeongea na Tundu Lissu kupata uhakika wa kinachosemekana na hizi ni sentensi zake>>’Tumemshinda,kesi yake imefutiliwa mbali amemabiwa atulipe gharama na kwa vile ile kamali aliyocheza ya kupeleka kesi mahakamani imeshindikana si mwanachama wetu tena sasa hii ni rasmi’
Sentensi nyingine Tundu Lissu amesema>>’Katiba yetu inasema ukipeleka kesi kwenye mambo ya Chama kwenye mahakama unafukuzwa uanachama na kwa mujibu wa katiba si mwanachama wetu tena,hilo haliwezi kuwa kosa letu akamuulize jaji Mchome’.SIKILIZA SAUTI YAKE HAPA CHINI KWA MSAADA WA MILAD AYYO,COM
No comments:
Post a Comment